KOCHA msaidizi wa timu ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Boys', Jamhuri Kihwelo 'Julio' amewaomba radhi Watanzania kutokana na timu yake kuanza vibaya kwenye michuano ya Chalenji ambapo juzi ilitandikwa bao 1-0 na Rwanda 'Amavubi'.
Julio alisema kwamba kipigo hicho kilitokea kwa bahati mbaya hivyo amekifanyia marekebisho kikosi chake na kuahidi kuwa kitafanya vema leo dhidi ya Djibout.

Post a Comment

Previous Post Next Post